Image

ZANZIBAR ELECTRICITY CORPORATION
(ZECO)

Image
MKUTANO WA MHESHIMIWA WAZIRI NA WAFANYAKAZI WA ZECO

MKUTANO WA MHESHIMIWA WAZIRI NA WAFANYAKAZI WA ZECO

Waziri wa Wizara ya Maji, Nishati na Madini Mheshimiwa Shaib Hassan Kaduara (ambae hayupo pichani) akizungumza na wafanyakazi wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) wakati wa mkutano wa kila mwaka wa kuzungumza na wafanyakazi hao.