USAMBAZAJI HUDUMA YA UMEME MASHAMBA YA KILIMO DONGWE
Naibu Waziri wa Wizara ya Maji, Nishati na Madini Mheshimiwa Shaaban Ali Othman amezindua huduma ya umeme kwa wakulima wa Dongwe Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.
Naibu Waziri wa Wizara ya Maji, Nishati na Madini Mheshimiwa Shaaban Ali Othman amezindua huduma ya umeme kwa wakulima wa Dongwe Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.