Image

ZANZIBAR ELECTRICITY CORPORATION
(ZECO)

Image
USAMBAZAJI HUDUMA YA UMEME MASHAMBA YA KILIMO DONGWE

USAMBAZAJI HUDUMA YA UMEME MASHAMBA YA KILIMO DONGWE

Naibu Waziri wa Wizara ya Maji, Nishati na Madini Mheshimiwa Shaaban Ali Othman amezindua huduma ya umeme kwa wakulima wa Dongwe Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.