ZECO yakabidhi msaada wa kompyuta
SHIRIKA la Umeme Zanzibar (ZECO) limetoa msaada wa kompyuta moja kwa kituo cha Polisi Makadara kilichopo Mkoa Mjini Magharibi Unguja katika kusaidia ufanisi wa kazi zao na kujenga mahusiano
ZECO YAFANIKISHA ILANI YA CCM
NA HUSNA MOHAMMED
NI miaka tisa sasa imetimia Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ikiwa chini ya uongozi wa Rais Dk, Ali Mohammed Shein tangu kuingia madarakani. Katika kipindi chake cha uongozi Rais Shein